Na Mwandishi wetu, News info Zaidi ya wanawake 142 wamepokelewa rasmi kushiriki toleo la 12 la programu ya mafunzo ya uongozi kwa wanawake, Female Future Programme...
Na Mwandishi wetu, News info Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, ametaka vijana wanufaike ipasavyo na huduma za mkongo wa Taifa wa mawasiliano, hasa katika maeneo ya...
Na Mwandishi wetu, News info Zaidi ya wananchi milioni 8.5 hususan wanaoishi mipakani na vijijini, wanatarajiwa kuondolewa changamoto ya mtandao, baada ya Rais Dkt Samia Suluhu...
Na Mwandishi wetu, News info Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imesema ujenzi wa moduli ya kupokea na kushughulikia malalamiko na rufaa katika mfumo...
Na Mwandishi wetu, News info Ufafanuzi. Leo tarehe 08 Aprili, 2026, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati akiwaapisha viongozi...
Na Mwandishi wetu, News info Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, ametangaza mpango wa kupunguza ukubwa wa msafara wake, ikiwa ni hatua za mwanzo za kukabili matumizi...
Na Mwandishi wetu, News info Mwenyekiti wa Umoja wa Makanisa Mkoa wa Arusha na Askofu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Dayosisi ya Mount Kilimanjaro Stanley Hotay...
Na Mwandishi wetu, News info Benki Kuu ya Tanzania imeamua kuweka kiwango cha riba ya Benki kuu katika asilimia 5.75 kuanzia mwezi aprili, hatua inayolenga kudhibiti...
Na Mwandishi wetu, News info Serikali imewahakikishia wananchi uwepo wa akiba ya mafuta ya kutosha nchini, huku ikijizatiti kufanya kila linalowezekana kuhakikisha nishati hiyo inapatikana kwa...
Na Mwandishi wetu, News Info Online Benki ya NMB imetwaa tuzo tatu katika Tuzo za Euromoney Private Banking 2026 jijini London, ikishinda Benki Bora ya Huduma...