News
SABASABA AONGOZA CUSTOMER FORUM DODOMA
Na Mwandishi wetu, Newsinfo Online
Benki ya DCB imefanya Customer Forum jijini Dodoma, ikilenga kuongeza mahusiano na wateja na kusikiliza maoni yao kwa ajili ya kuboresha huduma.
Mkutano huo uliendeshwa na Mkurugenzi Mtendaji wa DCB, Bw. Sabasaba Moshingi, na uliwahusisha wadau mbalimbali wakiwemo wateja wakubwa, wafanyabiashara na viongozi wa jamii.

Subscribe
Login
0 Comments
Oldest