News
Stan Bakora achukuwa fomu kugombea udiwani Morogoro Mjini
Na Mwandishi wetu, News Info Online
Msanii Stanbakora amechukua Fomu ya kuomba ridhaa ya Kugombea Udiwani Morogoro Mjini Kata ya Kiwanja Cha Ndege kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kupitia ukurasa wake Instagram ameandika.
“Wana MOROGORO MJINI Kata Ya KIWANJA CHA NDEGE Nipo Tayar Kuwatumikia”

SatMediaUpdates
Subscribe
Login
0 Comments
Oldest